Swali: Sisi Afrika tuko na ada ya kuinama wakati wa kuwasalimia waheshimiwa. Je, inafaa kufanya hivo?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Kuinama ni kufanya Rukuu´. Haijuzu kufanya Rukuu´ wala Sujuud kumfanyia mwengine asiyekuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Yule atakayewataka muwainamie, basi wakatalieni na wabainishieni kwamba kitendo hicho hakijuzu katika dini yetu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqa%20Afrika-6-12-1440.mp3
- Imechapishwa: 04/05/2020
Swali: Sisi Afrika tuko na ada ya kuinama wakati wa kuwasalimia waheshimiwa. Je, inafaa kufanya hivo?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Kuinama ni kufanya Rukuu´. Haijuzu kufanya Rukuu´ wala Sujuud kumfanyia mwengine asiyekuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Yule atakayewataka muwainamie, basi wakatalieni na wabainishieni kwamba kitendo hicho hakijuzu katika dini yetu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqa%20Afrika-6-12-1440.mp3
Imechapishwa: 04/05/2020
https://firqatunnajia.com/mamkuzi-ya-kuinama-hayajuzu/