Swali: Mimi na ndugu tunaenda katika darsa za wanachuoni. Siku moja mamangu alimkasirikia kaka yangu na akatukataza kwenda katika darsa za wanachuoni. Je, ni lazima kumtii?
Jibu: Hapana. Asiwakatazeni kwenda katika darsa za wanachuoni wala kutafuta elimu. Jaribu kumkinaisha na kuweni wazuri kwake. Akiendelea kung´ang´ania msikubali maneno yake. Nendeni kwenye darsa za wanachuoni.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)