Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametueleza kwamba kupita kwa mwanamke mbele ya anayeswali kunabatilisha swalah yake. Je, hili linawahusu pia mama, mke na dada?
Jibu: Hadiyth iliyotajwa ni yenye kuenea. Inamhusu mama, dada, msichana, mke na wengineo, kwa sababu hakuna dalili inayoonesha kuwa baadhi yao wametengwa katika hukumu hii.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/335)
- Imechapishwa: 13/03/2026
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametueleza kwamba kupita kwa mwanamke mbele ya anayeswali kunabatilisha swalah yake. Je, hili linawahusu pia mama, mke na dada?
Jibu: Hadiyth iliyotajwa ni yenye kuenea. Inamhusu mama, dada, msichana, mke na wengineo, kwa sababu hakuna dalili inayoonesha kuwa baadhi yao wametengwa katika hukumu hii.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/335)
Imechapishwa: 13/03/2026
https://firqatunnajia.com/mama-dada-msichana-na-mke-wa-mswaliji-wanaruhusiwa-kupita-mbele-yake/