Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ummah wangu utafarikiana mapote sabini na tatu. Yote yataingia Motoni isipokuwa moja tu.”
Je, mapote yote haya yatadumishwa Motoni milele?
Jibu: Kinachotambulika kwa wanachuoni ni kwamba watu hawa ni miongoni mwa waliopewa matishio na kwamba ni katika wazushi. Kwa ajili hii wamesema kwamba Jahmiyyah ni wenye kutoka nje ya makundi haya sabini na mbili kwa sababu ni makafiri.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 13/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)