Swali 428: Je, kutokwa na damu puani kunafunguza?
Jibu: Kutokwa na damu puani hakufunguzi hata kama zitakuwa nyingi. Kwa sababu hakutokwa na damu kwa kutaka kwake mwenyewe.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 481
- Imechapishwa: 13/05/2019
Swali 428: Je, kutokwa na damu puani kunafunguza?
Jibu: Kutokwa na damu puani hakufunguzi hata kama zitakuwa nyingi. Kwa sababu hakutokwa na damu kwa kutaka kwake mwenyewe.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 481
Imechapishwa: 13/05/2019
https://firqatunnajia.com/je-kutokwa-na-damu-puani-kunafunguza/