Swali: Baadhi ya watu wasiokuwa na elimu wanamkemea ambaye anawasomea waumini baada ya swalah ya ´Aswr siku ya ijumaa. Je, kumepokelewa chochote juu ya hilo?
Jibu: Hapana, hakuna makatazo kabla ya swalah ya ijumaa. Ama baada ya swalah tulikuwa tukisoma. Na hivi sasa haya ni masomo tunayofanya baada ya swalah ya ´Aswr siku ya ijumaa. Makatazo ni kabla ya swalah ya Fajr na kufanya mviringo wa kielimu kabla ya swalah ya ijumaa.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 14/11/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)