Swali: Inajuzu kuwaacha manaswara na waabudu mizimu kujenga makanisa na mahekalu katika miji ya waislamu?
Jibu: Haijuzu kuwaacha wakafanya hivo katika miji ya waislamu. Haijuzu. Lakini makanisa yao ya kale yaachwe mpaka pale yatapobomoka. Baada ya hapo yasijengwe tena. Yakibomoka yasijengwe tena katika miji ya waislamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)