Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna yeyote atayesikia kuhusu kuja kwangu, si myahudi wala mkristo, kisha akafariki bila ya kuamini dini niliyotumwa nayo, isipokuwa atakuwa katika watu wa Motoni.”[1]
Tunaamini na kuitakidi kuwa manaswara, mayahudi na makafiri wengine wote ya kuwa ni katika watu wa Motoni. Namna hii ndivyo alivyoshuhudia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wamekufuru. Ni maadui wa Allaah. Ni maadui wa Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam); Ibraahiym, Nuuh, Muhammad, Muusa, ´Iysaa na Mitume wengine wote (´alayhimus-Salaam).
[1] Muslim (153).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/350)
- Imechapishwa: 04/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)