Swali: Utukufu wa Madiynah kama utukufu wa Makkah kunajumuisha makafiri kuingia ndani yake?
Jibu: Haya ni miongoni mwa yale ambayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alibainisha katika Hadiyth ya Makkah na kuharamishwa kuwalinda hapo… kuhusu kuingia washirikina jambo haliko wazi, kwa sababu yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwakubalia washirikina kuingia. Ujumbe wa Najraan na manaswara waliingia kwake. Ujumbe wa Thaqiyf pia walikuwa washirikina. Kwa hivyo udhahiri wa Hadiyth ni kwamba Madiynah sio kama Makkah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24299ما-حكم-دخول-المشركين-الى-المدينة
- Imechapishwa: 26/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)