Swali: Ikiwa kuna maji yasiyotosheleza wudhuu´ kikamilifu. Nitawadhe kisha nifanye Tayammum au nifanye Tayammum peke yake?
Jibu: Ikiwa hakuna maji ya kutosheleza, atawadhe yale atayoweza na afanye Tayammum kwa vitavyokuwa vimebaki.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 13/11/2016
Swali: Ikiwa kuna maji yasiyotosheleza wudhuu´ kikamilifu. Nitawadhe kisha nifanye Tayammum au nifanye Tayammum peke yake?
Jibu: Ikiwa hakuna maji ya kutosheleza, atawadhe yale atayoweza na afanye Tayammum kwa vitavyokuwa vimebaki.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 13/11/2016
https://firqatunnajia.com/maji-yasiyotosheleza-wudhuu-mkamilifu/