Swali: Ni ipi hukumu ya maji yanayomrukia mtu anapokuwa anaosha dhakari yake au tupu yake ya nyuma chooni?
Jibu: Kimsingi ni usafi katika maji. Mtu akiwa na yakini kwamba maji yaliyomrukia yamenajisika kwa mkojo au kitu kingine, basi analazimika kuosha nguo na mwili wake kutokana na yale maandiko yanayoamrisha kujisafisha kutokamana na najisi.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (04/203)
- Imechapishwa: 09/06/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)