Swali: Nilikuwa msafiri na nikatayamamu na kuswali ´Ishaa ilihali nilikuwa na maji ya kunywa kwa sababu masafa yaliyobaki [katika safari yangu] bado ni marefu. Je, kufanya kwangu Tayammum na kuacha kutumia maji ni sahihi?
Jibu: Ndio, ikiwa unachelea kuwa maji yatakuwa madogo kwa haja yako endapo utatawadha nayo, wewe ni mwenye kupewa udhuru. Fanya Tayammum nayo. Una hukumu moja kama ya mwenye kukosa maji. Ama ikiwa maji ni mengi na wala huchelei kuwa yataisha, katika hali hii haijuzu kwako ku-Tayammum.
فَلَمْ تَجِدُوا مَاءً فَتَيَمَّمُوا
“… kisha hamkupata maji, basi fanyeni Tayammum.” (05:06)
Wewe uko na maji.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-8.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Nilikuwa msafiri na nikatayamamu na kuswali ´Ishaa ilihali nilikuwa na maji ya kunywa kwa sababu masafa yaliyobaki [katika safari yangu] bado ni marefu. Je, kufanya kwangu Tayammum na kuacha kutumia maji ni sahihi?
Jibu: Ndio, ikiwa unachelea kuwa maji yatakuwa madogo kwa haja yako endapo utatawadha nayo, wewe ni mwenye kupewa udhuru. Fanya Tayammum nayo. Una hukumu moja kama ya mwenye kukosa maji. Ama ikiwa maji ni mengi na wala huchelei kuwa yataisha, katika hali hii haijuzu kwako ku-Tayammum.
فَلَمْ تَجِدُوا مَاءً فَتَيَمَّمُوا
“… kisha hamkupata maji, basi fanyeni Tayammum.” (05:06)
Wewe uko na maji.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-3-8.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/maji-madogo-yasiyotosheleza-wudhuu-ambayo-mtu-anayahitaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)