Swali: Yule anayewatukana Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na vitabu vyake vinaita katika Takfiyr na kumfanyia uasi mtawala na ameshakufa. Je, hali yake ibainishwe kwa watu?
Jibu: Hili halina shaka. Kibainishwe kitabu ambacho ndani yake kuna upotevu huu na jina lake ili asije akadanganyika yeyote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-2-20.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Yule anayewatukana Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na vitabu vyake vinaita katika Takfiyr na kumfanyia uasi mtawala na ameshakufa. Je, hali yake ibainishwe kwa watu?
Jibu: Hili halina shaka. Kibainishwe kitabu ambacho ndani yake kuna upotevu huu na jina lake ili asije akadanganyika yeyote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-2-20.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/maiti-za-ahl-ul-bidah-ni-lazima-wabainishwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)