Swali: Je, kufanya Da´wah na kwenda katika miji ya makafiri na ya waislamu na kueneza Sunnah ni katika Jihaad katika njia ya Allaah?
Jibu: Ndio, ni aina ya Jihaad. Hili linaitangulia Jihaad. Kulingania katika dini ya Allaah kunatangulia kabla ya Jihaad. Kinachotangulia ni kulingania katika dini ya Allaah kisha ndio kunakuja Jihaad. Bila ya shaka hii ni katika aina bora ya Jihaad.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-2-27.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Je, kufanya Da´wah na kwenda katika miji ya makafiri na ya waislamu na kueneza Sunnah ni katika Jihaad katika njia ya Allaah?
Jibu: Ndio, ni aina ya Jihaad. Hili linaitangulia Jihaad. Kulingania katika dini ya Allaah kunatangulia kabla ya Jihaad. Kinachotangulia ni kulingania katika dini ya Allaah kisha ndio kunakuja Jihaad. Bila ya shaka hii ni katika aina bora ya Jihaad.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-2-27.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/dawah-inatangulia-kabla-ya-jihaad/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)