Swali: Niliswali siku ya ´Arafah Dhuhr kwa nia ya ijumaa. Lakini imamu aliswali Dhuhr. Je, swalah hii inasihi pamoja na kwamba nia ya imamu na maamuma vinatofautiana?
Jibu: Ni lazima kwako kuirudi swalah ya Dhuhr. Mahujaji hawana swalah ya ijumaa katika ´Arafah. Bali ni juu yao kuiswali Dhuhr kama alivyoiswali Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/193)
- Imechapishwa: 13/08/2018
Swali: Niliswali siku ya ´Arafah Dhuhr kwa nia ya ijumaa. Lakini imamu aliswali Dhuhr. Je, swalah hii inasihi pamoja na kwamba nia ya imamu na maamuma vinatofautiana?
Jibu: Ni lazima kwako kuirudi swalah ya Dhuhr. Mahujaji hawana swalah ya ijumaa katika ´Arafah. Bali ni juu yao kuiswali Dhuhr kama alivyoiswali Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/193)
Imechapishwa: 13/08/2018
https://firqatunnajia.com/mahujaji-wameswali-dhuhr-kwa-nia-ya-ijumaa/