Swali: Ni upi usahihi ya kwamba tofauti kati ya waislamu na mayahudi inahusiana na ardhi na mipaka na sio kwa ajili ya dini na ´Aqiydah?
Jibu: Huyu ni mpotevu na mwenye uchu. Haihusiani na mipaka na ardhi. Inahusiana na dini. Lau wangelikuwa na dini moja basi nchi yao ingelikuwa moja. Nchi ya waislamu ni moja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2020
Swali: Ni upi usahihi ya kwamba tofauti kati ya waislamu na mayahudi inahusiana na ardhi na mipaka na sio kwa ajili ya dini na ´Aqiydah?
Jibu: Huyu ni mpotevu na mwenye uchu. Haihusiani na mipaka na ardhi. Inahusiana na dini. Lau wangelikuwa na dini moja basi nchi yao ingelikuwa moja. Nchi ya waislamu ni moja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
Imechapishwa: 15/06/2020
https://firqatunnajia.com/magomvi-kati-ya-waislamu-na-mayahudi-inahusiana-na-nini/