Swali: Je, inafaa kuyatumia magazeti kama meza ya kulia? Ikiwa haijuzu tuyafanye nini baada ya kuyasoma?
Jibu: Haijuzu kuyatumia magazeti kama meza ya kula juu yake, kuyafanya ni faili za mahitajio mbalimbali wala kuyatweza kwa sampuli mbalimbali ikiwa ndani yake kumeandikwa baadhi ya Aayah za Qur-aan au utajo wa Allaah. Ikiwa hali ndio hiyo tuliyoitaja basi lililo la wajibu ni kuyahifadhi mahali ambapo ni munasibu, kuyachoma moto au kuyazika chini ya udongo msafi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (06/439)
- Imechapishwa: 24/02/2021
Swali: Je, inafaa kuyatumia magazeti kama meza ya kulia? Ikiwa haijuzu tuyafanye nini baada ya kuyasoma?
Jibu: Haijuzu kuyatumia magazeti kama meza ya kula juu yake, kuyafanya ni faili za mahitajio mbalimbali wala kuyatweza kwa sampuli mbalimbali ikiwa ndani yake kumeandikwa baadhi ya Aayah za Qur-aan au utajo wa Allaah. Ikiwa hali ndio hiyo tuliyoitaja basi lililo la wajibu ni kuyahifadhi mahali ambapo ni munasibu, kuyachoma moto au kuyazika chini ya udongo msafi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (06/439)
Imechapishwa: 24/02/2021
https://firqatunnajia.com/magazeti-yasiyotakiwa-kutupwa-hovyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)