Swali: Inafaa kutumia mafuta ya zaituni katika kumtibu yule aliyevamiwa na jini? Kwani jambo hilo limejaribiwa na likawa na taathira yenye nguvu katika kumwondosha jini.
Jibu: Hapana. Haifai kutumia mafuta ya zaituni au kipande cha ngozi ya mbwamwitu. Yote haya ni katika ukhurafi. Wengine wanaomba msaada kutoka kwa wanyama wakali. Haifai kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
- Imechapishwa: 05/04/2019
Swali: Inafaa kutumia mafuta ya zaituni katika kumtibu yule aliyevamiwa na jini? Kwani jambo hilo limejaribiwa na likawa na taathira yenye nguvu katika kumwondosha jini.
Jibu: Hapana. Haifai kutumia mafuta ya zaituni au kipande cha ngozi ya mbwamwitu. Yote haya ni katika ukhurafi. Wengine wanaomba msaada kutoka kwa wanyama wakali. Haifai kufanya hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
Imechapishwa: 05/04/2019
https://firqatunnajia.com/mafuta-ya-zaituni-wakati-wa-kusoma-matabano/