Swali: Inatokea wakati mwingine baadhi ya wenye kununua kwenye mtandao. Wanaona picha za bidhaa…
Jibu: Ununuzi wa kwenye mitandao unaingiliwa na ghushi, uwongo na mengine mengi. Haitoshi kuona picha peke yake kwenye mtandao. Haitoshi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
- Imechapishwa: 04/02/2022
Swali: Inatokea wakati mwingine baadhi ya wenye kununua kwenye mtandao. Wanaona picha za bidhaa…
Jibu: Ununuzi wa kwenye mitandao unaingiliwa na ghushi, uwongo na mengine mengi. Haitoshi kuona picha peke yake kwenye mtandao. Haitoshi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (28)
Imechapishwa: 04/02/2022
https://firqatunnajia.com/madhara-ya-biashara-za-mitandao/