Swali: Makatazo ya kurudisha nyuma manukato yanapelekea kuwa ni haramu?
Jibu: Imekuja katika tamko jengine:
“Yayote anayepewa manukato basi asiyarudishe nyuma.”
Kuhusu hili ilikuwa ni katika mwendo wake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba harudishi nyuma manukato. Kuhusu upokezi unaokataza kuyarudisha nyuma unahitaji kuangaliwa vyema. Dogo liwezalo kusemwa ni kwamba inachukiza kuyarudisha nyuma.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24110/هل-النهي-عن-رد-الطيب-يقتضي-التحريم
- Imechapishwa: 31/08/2024
Swali: Makatazo ya kurudisha nyuma manukato yanapelekea kuwa ni haramu?
Jibu: Imekuja katika tamko jengine:
“Yayote anayepewa manukato basi asiyarudishe nyuma.”
Kuhusu hili ilikuwa ni katika mwendo wake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba harudishi nyuma manukato. Kuhusu upokezi unaokataza kuyarudisha nyuma unahitaji kuangaliwa vyema. Dogo liwezalo kusemwa ni kwamba inachukiza kuyarudisha nyuma.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24110/هل-النهي-عن-رد-الطيب-يقتضي-التحريم
Imechapishwa: 31/08/2024
https://firqatunnajia.com/machukizo-ya-kukataa-zawadi-ya-manukato/