Swali: Makatazo ya kurudisha nyuma manukato yanapelekea kuwa ni haramu?
Jibu: Imekuja katika tamko jengine:
“Yayote anayepewa manukato basi asiyarudishe nyuma.”
Kuhusu hili ilikuwa ni katika mwendo wake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba harudishi nyuma manukato. Kuhusu upokezi unaokataza kuyarudisha nyuma unahitaji kuangaliwa vyema. Dogo liwezalo kusemwa ni kwamba inachukiza kuyarudisha nyuma.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24110/هل-النهي-عن-رد-الطيب-يقتضي-التحريم
- Imechapishwa: 31/08/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket