Swali: Je, amepatia mwenye kusema kwamba maandamano ya leo yanaonesha roho ya Kiislamu na yanachangia haki?
Jibu: Uislamu hauamrishi maandamano, fujo wala Bid´ah hizi ambazo zinapelekea katika madhara mengi na hayachangii manufaa yoyote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14231
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Je, amepatia mwenye kusema kwamba maandamano ya leo yanaonesha roho ya Kiislamu na yanachangia haki?
Jibu: Uislamu hauamrishi maandamano, fujo wala Bid´ah hizi ambazo zinapelekea katika madhara mengi na hayachangii manufaa yoyote.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14231
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/maandamano-ni-bidah-inayodhuru-tu/