Swali: Inajuzu kufanya maandamano dhidi ya mtawala kafiri?
Jibu: Haijuzu kufanya maandamano kwa kuwa yanasababisha kumwaga damu, kuharibu manyumba, kuharibu mali. Na si njia ya kuifikia haki kwa kufanya maandamano, bali inakuwa kwa njia zilizowekwa katika Shari´ah. Kwa sharti la uwezekano wa kuifikia haki kwa njia za Kishari´ah.
- Muhusika: ´Allaamah Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.youtube.com/watch?v=YHnBN1ziPac
- Imechapishwa: 06/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)