Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
07- Abu Ruqayyah Tamiym bin Aws ad-Daariy (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Dini ni nasaha.” Tukauliza: “Kwa nani?” Akasema kwa Allaah, Kitabu Chake, Mtume Wake, kwa wiongozi wa waislamu na watu wa kawaida.”
Miongoni mwa nasaha kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) ni kumpenda (Jalla wa ´Alaa), kufuata maamrisho Yake, kufuata Shari´ah Yake, kusadikisha khabari Zake na mtu awe ni mwenye kumkimbilia kwa moyo wake kwa kumtakasia Yeye Dini. Kumtakasia ´ibaadah, sawa kwa maneno na vitendo, ni haki ya Allaah (Jalla wa ´Alaa). Yule mwenye kuingiwa na kitu kwenye moyo wake ikawa kwa ajili ya asiyekuwa Allaah, kama mfano wa kujionyesha au kutaka kusikika, hakutekeleza haki ya Allaah (Jalla wa ´Alaa).
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 160
- Imechapishwa: 10/05/2020
Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
07- Abu Ruqayyah Tamiym bin Aws ad-Daariy (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Dini ni nasaha.” Tukauliza: “Kwa nani?” Akasema kwa Allaah, Kitabu Chake, Mtume Wake, kwa wiongozi wa waislamu na watu wa kawaida.”
Miongoni mwa nasaha kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) ni kumpenda (Jalla wa ´Alaa), kufuata maamrisho Yake, kufuata Shari´ah Yake, kusadikisha khabari Zake na mtu awe ni mwenye kumkimbilia kwa moyo wake kwa kumtakasia Yeye Dini. Kumtakasia ´ibaadah, sawa kwa maneno na vitendo, ni haki ya Allaah (Jalla wa ´Alaa). Yule mwenye kuingiwa na kitu kwenye moyo wake ikawa kwa ajili ya asiyekuwa Allaah, kama mfano wa kujionyesha au kutaka kusikika, hakutekeleza haki ya Allaah (Jalla wa ´Alaa).
Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 160
Imechapishwa: 10/05/2020
https://firqatunnajia.com/maana-ya-nasaha-kwa-allaah/