Swali: Kuna kidhibiti gani kinachomfanya mtu kuwa fasiki kumnyima haki ya ulezi?
Jibu: Bi maana mtu anayefanya dhambi kubwa mbali na shirki. Muislamu anayefanya dhambi kubwa, mbali na shirki, ndiye fasiki. Kwa mfano uzinzi, unywaji pombe, wizi na kadhalika.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 01/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)