Swali: Ni lini unaanza unaanza kuingia wakati wa jioni na lini unaisha?
Jibu: Mwishoni mwa mchana ni jioni na mwanzoni mwa mchana ni asubuhi. Akizisoma baada ya Maghrib bado pia ni wakati wa jioni:
فَسُبْحَانَ اللَّـهِ حِينَ تُمْسُونَ وَحِينَ تُصْبِحُونَ
”Basi msabihini Allaah mnapoingia jioni na mnapoingia asubuhi.”[1]
Baada ya kuzama kwa jua kunaitwa ´jioni`.
[1] 30:17
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24458/متى-يبدا-وقت-المساء-والصباح-ومتى-ينتهي
- Imechapishwa: 17/10/2024
Swali: Ni lini unaanza unaanza kuingia wakati wa jioni na lini unaisha?
Jibu: Mwishoni mwa mchana ni jioni na mwanzoni mwa mchana ni asubuhi. Akizisoma baada ya Maghrib bado pia ni wakati wa jioni:
فَسُبْحَانَ اللَّـهِ حِينَ تُمْسُونَ وَحِينَ تُصْبِحُونَ
”Basi msabihini Allaah mnapoingia jioni na mnapoingia asubuhi.”[1]
Baada ya kuzama kwa jua kunaitwa ´jioni`.
[1] 30:17
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24458/متى-يبدا-وقت-المساء-والصباح-ومتى-ينتهي
Imechapishwa: 17/10/2024
https://firqatunnajia.com/lini-unaanza-wakati-wa-jioni-na-lini-unaisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
