Swali: Wanazuoni wameweka masharti ya kwamba ni lazima kuwa na vumbi katika udongo [wa Tayammum]
Jibu: Kama alivosema Allaah (‘Azza wa Jall):
فَامْسَحُوا بِوُجُوهِكُمْ وَأَيْدِيكُم مِّنْهُ
“..abasi fanyeni Tayammum kwa ardhi kwa juu panguseni kwayo nyuso zenu na mikono yenu kutoka humo.”[1]
Maana ya ´kutoka humo` ni kile kinachotokana nao tu kwa kuwepo udongo au kuwepo vumbi. Aidha udongo au vumbi.
[1] 05:06
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27522/هل-يشترط-وجود-الغبار-في-تراب-التيمم
- Imechapishwa: 11/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)