Swali: Vipi ikiwa mwanaume amefunga ndoa na mwanamke na hakuhudhuria isipokuwa walii wake na shahidi mmoja mbele ya maudhuni na mwanamke ameridhia hilo, je, hilo linatosha au ni batili?
Jibu: Haitoshi isipokuwa kwa mashahidi wawili. Lazima wawepo mashahidi wawili pamoja na mume na pamoja na walii. Watu wanne wanapaswa kuhudhuria katika ndoa: walii, mume na mashahidi wawili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3249/حكم-الاكتفاء-بشاهد-واحد-عند-عقد-الزواج
- Imechapishwa: 06/08/2026
Swali: Vipi ikiwa mwanaume amefunga ndoa na mwanamke na hakuhudhuria isipokuwa walii wake na shahidi mmoja mbele ya maudhuni na mwanamke ameridhia hilo, je, hilo linatosha au ni batili?
Jibu: Haitoshi isipokuwa kwa mashahidi wawili. Lazima wawepo mashahidi wawili pamoja na mume na pamoja na walii. Watu wanne wanapaswa kuhudhuria katika ndoa: walii, mume na mashahidi wawili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3249/حكم-الاكتفاء-بشاهد-واحد-عند-عقد-الزواج
Imechapishwa: 06/08/2026
https://firqatunnajia.com/lazima-katika-ndoa-wahudhurie-watu-wanne/