Swali: Sunnah ni kwenda mahali pa kuswalia kwa kutembea na miguu au kwa kupanda?
Jibu: Sunnah ni mtu kwenda kwa kutembea. Isipokuwa ikiwa kama mtu anahitajia kupanda. Katika hali hiyo hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/235)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Sunnah ni kwenda mahali pa kuswalia kwa kutembea na miguu au kwa kupanda?
Jibu: Sunnah ni mtu kwenda kwa kutembea. Isipokuwa ikiwa kama mtu anahitajia kupanda. Katika hali hiyo hakuna neno.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/235)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/kwenda-uwanja-wa-iyd-kwa-kutembea-au-kwa-kupanda/