Swali: Je, inafaa kwa mtu kwenda kwa mchawi kujua kama amerogwa au hakurogwa?
Jibu: Haijuzu. Ni haramu kuwasadikisha wachawi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote atakayemwendea mpiga ramli au kuhani akamsadikisha kwa aliyoyasema, basi hakika ameyakufuru yale aliyoteremshiwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
Wachawi hawasadikishwi, hawaendewi wala kuwaheshimishwi. Ni lazima kuwashtaki. Ambaye atajulikana kuwa ni mchawi anatakiwa kuambiwa kutubia. Vinginevyo atauliwa[1]. Kwa sababu ni mtu muovu kabisa na anakula mali za watu pasi na haki. Hawaaminiwi.
[1] Nani mwenye haki ya kuwaua Khawaarij? – al-Firqah an-Naajiyah (firqatunnajia.com)
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-26-12-1435هـ
- Imechapishwa: 19/06/2022
Swali: Je, inafaa kwa mtu kwenda kwa mchawi kujua kama amerogwa au hakurogwa?
Jibu: Haijuzu. Ni haramu kuwasadikisha wachawi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote atakayemwendea mpiga ramli au kuhani akamsadikisha kwa aliyoyasema, basi hakika ameyakufuru yale aliyoteremshiwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
Wachawi hawasadikishwi, hawaendewi wala kuwaheshimishwi. Ni lazima kuwashtaki. Ambaye atajulikana kuwa ni mchawi anatakiwa kuambiwa kutubia. Vinginevyo atauliwa[1]. Kwa sababu ni mtu muovu kabisa na anakula mali za watu pasi na haki. Hawaaminiwi.
[1] Nani mwenye haki ya kuwaua Khawaarij? – al-Firqah an-Naajiyah (firqatunnajia.com)
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-26-12-1435هـ
Imechapishwa: 19/06/2022
https://firqatunnajia.com/kwenda-kwa-mchawi-kuhakikisha-kama-amerogwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)