Swali: Suufiyyah wenye kuonelea nadharia ya kwamba viumbe vyote ni Allaah (Wahdat-ul-Wujuud) na kwamba Allaah amekita na kuchanganyika kwenye kila kitu (Huluul) wanakufuru au ni lazima kwanza wasimamishiwe hoja?
Jibu: Ndio, wanakufuru. Wamefikiwa na hoja. Kuna uwezekano wakawa hata wamehifadhi Qur-aan na katika wao kukawepo wasomi wa Hadiyth ambao wamehifadhi vitabu vya “as-Swahiyh”. Hoja imewasimamia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
- Imechapishwa: 16/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)