Swali: Dhambi ambazo zina kujifananisha na makafiri na wanawake, kama mfano wa kunyoa ndevu, kunazingatiwa kuwa ni dhambi kubwa?
Jibu: Ni kujifananisha na wanawake. Vilevile kuna laana juu ya hili. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanaume wenye kujifananisha na wanawake na amewalaani wanawake wenye kujifananisha na wanaume. Hii ni dhambi kubwa kwa ajili ya laana na sio kwa ajili ya kujifananisha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_07.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)