Swali: Baba yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa katika kipindi ambacho kilikuwa kimesheheni ujinga. Ni kwa nini hakupewa udhuru wa ujinga? Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Baba yangu na baba yako wako Motoni.”
Jibu: Kwa sababu watu waliokuwa katika kipindi kabla ya kuja Uislamu walifikiwa na ulinganizi wa Mitume; ulingano wa Ibraahiym na al-Masiyh. Wengi wao walikuwa manaswara na kati yao walikuwemo mayahudi pia. Walifikiwa na ulinganizi wa Mitume. Kwa ajili hiyo iliwasimamia hoja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
- Imechapishwa: 18/02/2024
Swali: Baba yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa katika kipindi ambacho kilikuwa kimesheheni ujinga. Ni kwa nini hakupewa udhuru wa ujinga? Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Baba yangu na baba yako wako Motoni.”
Jibu: Kwa sababu watu waliokuwa katika kipindi kabla ya kuja Uislamu walifikiwa na ulinganizi wa Mitume; ulingano wa Ibraahiym na al-Masiyh. Wengi wao walikuwa manaswara na kati yao walikuwemo mayahudi pia. Walifikiwa na ulinganizi wa Mitume. Kwa ajili hiyo iliwasimamia hoja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
Imechapishwa: 18/02/2024
https://firqatunnajia.com/kwanini-baba-yake-mtume-asipewe-udhuru/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket