Swali: Je, anakufuru yule mwenye kukanusha baadhi ya sifa za Allaah au zote?
Jibu: Kunahitajia upambanuzi. Anatakiwa kusimamishiwa hoja. Anaweza kuwa hajui baadhi ya sifa. Anatakiwa kubainishiwa yale yaliyothibiti katika Qur-aan na Sunnah. Akikanusha Mwingi wa huruma (ar-Rahmaan), Mwenye hekima (al-Hakiym), Mtakasifu (al-Qudduus) au mfalme (al-Malik) anakufuru. Akiwa si msomi anatakiwa kubainishiwa yale yaliyokuja katika Qur-aan na Sunnah Swahiyh.
Swali: Vipi ikiwa anapindisha ile maana yake?
Jibu: Kupindisha maana kunatofautiana. Ni kama mfano wa Ashaa´irah na wengineo. Kuna wanaowakufurisha na kuna ambao hawawakufurishi. Katika kupindisha maana (Ta´wiyl) kuna utata. Ni tofauti na Mu´tazilah na Jahmiyyah ambao ni makafiri. Kwa kuwa hawa wamekanusha sifa za Allaah zote na majina.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 102
- Imechapishwa: 05/01/2017
Swali: Je, anakufuru yule mwenye kukanusha baadhi ya sifa za Allaah au zote?
Jibu: Kunahitajia upambanuzi. Anatakiwa kusimamishiwa hoja. Anaweza kuwa hajui baadhi ya sifa. Anatakiwa kubainishiwa yale yaliyothibiti katika Qur-aan na Sunnah. Akikanusha Mwingi wa huruma (ar-Rahmaan), Mwenye hekima (al-Hakiym), Mtakasifu (al-Qudduus) au mfalme (al-Malik) anakufuru. Akiwa si msomi anatakiwa kubainishiwa yale yaliyokuja katika Qur-aan na Sunnah Swahiyh.
Swali: Vipi ikiwa anapindisha ile maana yake?
Jibu: Kupindisha maana kunatofautiana. Ni kama mfano wa Ashaa´irah na wengineo. Kuna wanaowakufurisha na kuna ambao hawawakufurishi. Katika kupindisha maana (Ta´wiyl) kuna utata. Ni tofauti na Mu´tazilah na Jahmiyyah ambao ni makafiri. Kwa kuwa hawa wamekanusha sifa za Allaah zote na majina.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 102
Imechapishwa: 05/01/2017
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwi-anayepinga-sifa-za-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)