Swali: Je, inajuzu kwetu kuamini kufuru ya wanawake waliovaa lakini bado wako uchi kutokana na maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Hawatoingia Peponi na wala hawatonusa harufu yake… ”?
Jibu: Ambaye ataamini kuwa ni halali katika wao anakufuru baada ya kubainishiwa na kumjuza hukumu. Asiyehalalisha hilo katika wao, lakini akatoka amevaa lakini bado yuko uchi, sio kafiri. Lakini hata hivyo amefanya dhambi kubwa. Ni wajibu kujivua nayo na kutubia kwayo kwa Allaah. Huenda Allaah akamsamehe. Akifa juu ya dhambi hiyo kabla ya kutubia yuko chini ya matakwa ya Allaah kama watenda madhambi wengine wote. Allaah (´Azza wa Jall) anasema:
إِنَّ اللَّـهَ لَا يَغْفِرُ أَن يُشْرَكَ بِهِ وَيَغْفِرُ مَا دُونَ ذَٰلِكَ لِمَن يَشَاءُ
“Hakika Allaah hasamehi kushirikishwa na anasamehe yaliyo chini ya hayo kwa amtakaye.” (04:116)
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/16)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Je, inajuzu kwetu kuamini kufuru ya wanawake waliovaa lakini bado wako uchi kutokana na maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Hawatoingia Peponi na wala hawatonusa harufu yake… ”?
Jibu: Ambaye ataamini kuwa ni halali katika wao anakufuru baada ya kubainishiwa na kumjuza hukumu. Asiyehalalisha hilo katika wao, lakini akatoka amevaa lakini bado yuko uchi, sio kafiri. Lakini hata hivyo amefanya dhambi kubwa. Ni wajibu kujivua nayo na kutubia kwayo kwa Allaah. Huenda Allaah akamsamehe. Akifa juu ya dhambi hiyo kabla ya kutubia yuko chini ya matakwa ya Allaah kama watenda madhambi wengine wote. Allaah (´Azza wa Jall) anasema:
إِنَّ اللَّـهَ لَا يَغْفِرُ أَن يُشْرَكَ بِهِ وَيَغْفِرُ مَا دُونَ ذَٰلِكَ لِمَن يَشَاءُ
“Hakika Allaah hasamehi kushirikishwa na anasamehe yaliyo chini ya hayo kwa amtakaye.” (04:116)
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/16)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-mwanamke-anayevaa-vibaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)