Swali: Ni kwa nini wanachuoni hawakumkufurisha al-Ma´muun kwa kuzingatia ya kwamba hakuwa mjinga?
Jibu: al-Ma´muun alikuwa anatokamana na Banul-´Abbaas na kutoka katika familia ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Alikuwa anafanya taawili. Anaingia katika taawili. Walimdanganya. Mu´tazilah walimdanganya. Kwa ajili hiyo ndio maana akapewa udhuru. Allaah Atusamehe sisi na yeye.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–02041434.mp3
- Imechapishwa: 27/06/2015
Swali: Ni kwa nini wanachuoni hawakumkufurisha al-Ma´muun kwa kuzingatia ya kwamba hakuwa mjinga?
Jibu: al-Ma´muun alikuwa anatokamana na Banul-´Abbaas na kutoka katika familia ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Alikuwa anafanya taawili. Anaingia katika taawili. Walimdanganya. Mu´tazilah walimdanganya. Kwa ajili hiyo ndio maana akapewa udhuru. Allaah Atusamehe sisi na yeye.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/msrf–02041434.mp3
Imechapishwa: 27/06/2015
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-al-mamuun-aliyeita-katika-shirki-kubwa/