Swali: Mtu afanye nini lau muadhini ataadhini ilihali mtu ameghafilika na akaja kuzindukana wakati ambapo adhaana imefika mwisho? Je, aanze mwanzo kisha aendelee kumuitikia au tuseme kuwa ni Sunnah iliyopita mahala pake?
Jibu: Amuitikie sehemu iliyobaki. Muadhini akimaliza alete kile kilichompita na kuomba du´aa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-16.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Mtu afanye nini lau muadhini ataadhini ilihali mtu ameghafilika na akaja kuzindukana wakati ambapo adhaana imefika mwisho? Je, aanze mwanzo kisha aendelee kumuitikia au tuseme kuwa ni Sunnah iliyopita mahala pake?
Jibu: Amuitikie sehemu iliyobaki. Muadhini akimaliza alete kile kilichompita na kuomba du´aa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-16.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuzindukana-wakati-adhaana-imefika-katikati/