Swali: Je, inajuzu kuzima mataa msikitini katika swalah ya Tarawiyh ili kuweza kupata unyenyekevu?
Jibu: Hapana, hii ni Bid´ah. Mataa yasizimwe misikitini katika swalah ya Tarawiyh. Watu wanahitajia mataa. Hii ni Bid´ah na haijuzu. Huenda haya ni matendo ya Suufiyyah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13974
- Imechapishwa: 26/06/2020
Swali: Je, inajuzu kuzima mataa msikitini katika swalah ya Tarawiyh ili kuweza kupata unyenyekevu?
Jibu: Hapana, hii ni Bid´ah. Mataa yasizimwe misikitini katika swalah ya Tarawiyh. Watu wanahitajia mataa. Hii ni Bid´ah na haijuzu. Huenda haya ni matendo ya Suufiyyah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13974
Imechapishwa: 26/06/2020
https://firqatunnajia.com/kuzima-mataa-wakati-wa-kuswali-tarawiyh/