Swali: Inaponyesha mvua nikiwa ndani ya nyumba au kwenye gari na ninataka mwili wangu unyeshewe na mvua, je, ni jambo la lazima?
Jibu: Ndio, alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitoka kwenye mvua na kuacha mvua inyeshe juu ya mwili wake mtukufu na juu ya kichwa chake na huku akisema:
“Punde tu ndio imetoka kwa Mola wake.”
Bi maana mvua.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18247
- Imechapishwa: 18/07/2020
Swali: Inaponyesha mvua nikiwa ndani ya nyumba au kwenye gari na ninataka mwili wangu unyeshewe na mvua, je, ni jambo la lazima?
Jibu: Ndio, alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitoka kwenye mvua na kuacha mvua inyeshe juu ya mwili wake mtukufu na juu ya kichwa chake na huku akisema:
“Punde tu ndio imetoka kwa Mola wake.”
Bi maana mvua.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18247
Imechapishwa: 18/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuyakusudia-maji-ya-mvua-yakunyeshee-juu-ya-mwili/