Swali: Kuweka vipaza sauti katika furaha na sherehe za minasaba mbali mbali kwa ajili ya mawaidha na kukumbushana kuna kitu chochote?
Jibu: Ni sawa. Hili ni jambo zuri. Ikiwa makusudio ya kufanya hivo ni kupeana mawaidha na kukumbushana kwa kuwafikishia watu, hili ni jambo zuri. Ama ikiwa makusudio ya kufanya hivo ni nyimbo na ngoma, hili ni jambo lisilojuzu. Ni maovu. Huku ni kutangaza maovu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Kuweka vipaza sauti katika furaha na sherehe za minasaba mbali mbali kwa ajili ya mawaidha na kukumbushana kuna kitu chochote?
Jibu: Ni sawa. Hili ni jambo zuri. Ikiwa makusudio ya kufanya hivo ni kupeana mawaidha na kukumbushana kwa kuwafikishia watu, hili ni jambo zuri. Ama ikiwa makusudio ya kufanya hivo ni nyimbo na ngoma, hili ni jambo lisilojuzu. Ni maovu. Huku ni kutangaza maovu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuweka-vipaza-sauti-na-spika-katika-minasaba-ili-kukumbushana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)