Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kujifanyia mkati na kati baina yake yeye na Allaah? Lakini hata hivyo pasi na kumtekelezea kitu chochote katika ´ibaadah. Je, hii ni shirki ndogo?
Jibu: Hii ni Bid´ah na ni njia inayopelekea katika shirki.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 78
- Imechapishwa: 21/09/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket