Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka intaneti nyumbani, ni mamoja ikiwa kwa haja au bila ya haja?
Jibu: Kile ambacho ni njia inayopelekea katika shari, haijuzu kukiweka nyumbani. Na kile ambacho ni njia inayopeleka katika kheri, hiki ni kizuri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12537
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka intaneti nyumbani, ni mamoja ikiwa kwa haja au bila ya haja?
Jibu: Kile ambacho ni njia inayopelekea katika shari, haijuzu kukiweka nyumbani. Na kile ambacho ni njia inayopeleka katika kheri, hiki ni kizuri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12537
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuweka-kompyuta-na-intaneti-nyumbani/