Kuweka kompyuta na intaneti nyumbani

Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka intaneti nyumbani, ni mamoja ikiwa kwa haja au bila ya haja?

Jibu: Kile ambacho ni njia inayopelekea katika shari, haijuzu kukiweka nyumbani. Na kile ambacho ni njia inayopeleka katika kheri, hiki ni kizuri.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12537
  • Imechapishwa: 24/09/2020