Swali: Mwanaume ameharamishiwa kuvaa dhahabu. Je, inafaa kuwauzia cheni za shingoni wanamme?
Jibu: Hapana, haijuzu ikiwa malengo wanamme wazivae, kufanya hivo ni kusaidiana katika madhambi na uadui. Lakini kama anamnunulia mke wake au msichana wake, hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 17/04/2021
Swali: Mwanaume ameharamishiwa kuvaa dhahabu. Je, inafaa kuwauzia cheni za shingoni wanamme?
Jibu: Hapana, haijuzu ikiwa malengo wanamme wazivae, kufanya hivo ni kusaidiana katika madhambi na uadui. Lakini kama anamnunulia mke wake au msichana wake, hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 17/04/2021
https://firqatunnajia.com/kuwauzia-wanamme-cheni-za-shingoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket