Swali: Inaingia katika kuunga kizazi mtu kuwa na mawasiliano na dada yake wa kunyonya? Je, ni wajibu?
Jibu: Hapana. Dada wa kunyonya sio kama wa nasabu. Sio kama ndugu. Kufanana kunakopatikana ni kuwa dada wa kunyonya ni haramu wewe kumuoa. Halipelekei katika haki za udugu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)