Swali: Kuna wanafunzi wanaokuja msikitini mapema kufuatilia darsa na wanatenga maeneo kwa ajili ya marafiki zao ambao bado hawajafika. Je, inafaa?
Jibu: Ikiwa wana uhakika kuwa watakuja, hapana neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 11/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)