Swali: Kumsusa mwenye kuacha swalah baada ya kumnasihi?
Jibu: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kumkata. Ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Bali ni jambo la wajibu kwa baadhi ya watu. Dogo liwezalo kusemwa ni kwamba ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Isipokuwa ikiwa kama kufanya hivo kunasababisha shari zaidi. Katika hali hiyo litahitaji kuangaliwa vyema. Ususaji ni dawa na tiba; ikiwa kufanya hivo kunapelekea kheri basi mtu atafanya hivo, ikiwa kufanya hivo kunapelekea shari mtu atafanya hivo na ikiwa kutapelekea maovu zaidi basi mtu ataacha kufanya hivo mpaka wakati mwingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24007/هل-يهجر-تارك-الصلاة-بعد-النصيحة
- Imechapishwa: 15/08/2024
Swali: Kumsusa mwenye kuacha swalah baada ya kumnasihi?
Jibu: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kumkata. Ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Bali ni jambo la wajibu kwa baadhi ya watu. Dogo liwezalo kusemwa ni kwamba ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Isipokuwa ikiwa kama kufanya hivo kunasababisha shari zaidi. Katika hali hiyo litahitaji kuangaliwa vyema. Ususaji ni dawa na tiba; ikiwa kufanya hivo kunapelekea kheri basi mtu atafanya hivo, ikiwa kufanya hivo kunapelekea shari mtu atafanya hivo na ikiwa kutapelekea maovu zaidi basi mtu ataacha kufanya hivo mpaka wakati mwingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24007/هل-يهجر-تارك-الصلاة-بعد-النصيحة
Imechapishwa: 15/08/2024
https://firqatunnajia.com/kuwasusa-wasioswali-baada-ya-nasaha/