Swali: Je, kuwapaka mafuta makafiri, kuitikia matendo yao na mambo yao, na kutaja aibu za waislamu mbele yao ni katika kuwafanya marafiki na ni katika kuwapenda?
Jibu: Ndio. Ndani ya hili kuna kitu kama kuwasifia makafiri na kuwaponda waislamu. Hili ni jambo lisilojuzu. Hili dogo tuwezalo kusema ni kwamba ni dhambi na ni maasi, hata kama uinje wake linaonekana kuwa ni kufuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7618_0.mp3
- Imechapishwa: 29/01/2024
Swali: Je, kuwapaka mafuta makafiri, kuitikia matendo yao na mambo yao, na kutaja aibu za waislamu mbele yao ni katika kuwafanya marafiki na ni katika kuwapenda?
Jibu: Ndio. Ndani ya hili kuna kitu kama kuwasifia makafiri na kuwaponda waislamu. Hili ni jambo lisilojuzu. Hili dogo tuwezalo kusema ni kwamba ni dhambi na ni maasi, hata kama uinje wake linaonekana kuwa ni kufuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/7618_0.mp3
Imechapishwa: 29/01/2024
https://firqatunnajia.com/kuwasifia-makafiri-na-kuwaponda-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)