Swali: Kafara ya yamini ni kulisha masikini kumi. Lau leo nitalisha masikini kumi na kesho nikawalisha tena hao hao watano. Je, hili linatosheleza?
Jibu: Hapana, hili halitoshelezi. Walishe masikini tano wengine wasiokuwa wao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-11-10.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Kafara ya yamini ni kulisha masikini kumi. Lau leo nitalisha masikini kumi na kesho nikawalisha tena hao hao watano. Je, hili linatosheleza?
Jibu: Hapana, hili halitoshelezi. Walishe masikini tano wengine wasiokuwa wao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (55) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-11-10.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuwalisha-masikini-tano-kwa-siku-tofauti-%e2%80%82/