Swali: Je, inajuzu Udhhiyah ikasimamia myahudi au mnaswara?
Jibu: Inajuzu kwa kuwa Allaah Ametuhalalishia vichinjwa vya Ahl-ul-Kitaab. Miongoni mwa watu wa kuchinja mmoja wao awe ni Ahl-ul-Kitaab. Akimuwakilisha na akakuchinjia hakuna neno. Lakini bora zaidi ujichinjie wewe mwenyewe kwa mkono wako au uwakilishe Muislamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Je, inajuzu Udhhiyah ikasimamia myahudi au mnaswara?
Jibu: Inajuzu kwa kuwa Allaah Ametuhalalishia vichinjwa vya Ahl-ul-Kitaab. Miongoni mwa watu wa kuchinja mmoja wao awe ni Ahl-ul-Kitaab. Akimuwakilisha na akakuchinjia hakuna neno. Lakini bora zaidi ujichinjie wewe mwenyewe kwa mkono wako au uwakilishe Muislamu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuwakilisha-myahudi-au-mnaswara-asimamie-udhhiyah/