Swali: Mtu akiwalingania wazazi wake kuacha baadhi ya maasi na wasiitikie inafaa kwake kuondoka nyumbani na kuwaacha?
Jibu: Hapana, awatendee wema. Allaah amesema kuhusu wazazi makafiri:
وَصَاحِبْهُمَا فِي الدُّنْيَا مَعْرُوفًا ۖ وَاتَّبِعْ سَبِيلَ مَنْ أَنَابَ إِلَيَّ
“Hata hivyo suhubiana nao kwa wema duniani na ifuate njia ya anayerudi Kwangu.” (31:15)
Hata wazazi makafiri mtu anatakiwa kuwafanyia upole na wema na kuwaangalia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21707/كيف-يكون-البر-بالوالدين-العاصيين
- Imechapishwa: 23/09/2022
Swali: Mtu akiwalingania wazazi wake kuacha baadhi ya maasi na wasiitikie inafaa kwake kuondoka nyumbani na kuwaacha?
Jibu: Hapana, awatendee wema. Allaah amesema kuhusu wazazi makafiri:
وَصَاحِبْهُمَا فِي الدُّنْيَا مَعْرُوفًا ۖ وَاتَّبِعْ سَبِيلَ مَنْ أَنَابَ إِلَيَّ
“Hata hivyo suhubiana nao kwa wema duniani na ifuate njia ya anayerudi Kwangu.” (31:15)
Hata wazazi makafiri mtu anatakiwa kuwafanyia upole na wema na kuwaangalia.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21707/كيف-يكون-البر-بالوالدين-العاصيين
Imechapishwa: 23/09/2022
https://firqatunnajia.com/kuwakata-wazazi-wanaotenda-maasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)