Swali: Kuna mtu jina lake ni Na´iym (Pepo) na ameruzukiwa msichana na anataka kumpa jina la Jannaat…
al-Fawzaan: Mashaa Allaah! Mashaa Allaah!
Swali: Je, hilo linajuzu?
Jibu: Wote wanaitwa Pepo, yeye na wasichana zake! Achague jina katika majina yasiyokuwa haya. Aache makalifisho haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14221
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Kuna mtu jina lake ni Na´iym (Pepo) na ameruzukiwa msichana na anataka kumpa jina la Jannaat…
al-Fawzaan: Mashaa Allaah! Mashaa Allaah!
Swali: Je, hilo linajuzu?
Jibu: Wote wanaitwa Pepo, yeye na wasichana zake! Achague jina katika majina yasiyokuwa haya. Aache makalifisho haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14221
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuwaita-watoto-majina-ya-pepo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)